Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 20:03

Wananchi wa DRC waikosoa UN kuhusu uwepo wa MONUSCO


Wananchi wa DRC waikosoa UN kuhusu uwepo wa MONUSCO
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:00 0:00

Wananchi katika eneo la mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Kivu kaskazini na Kivu Kusini na Ituri wasema Baraza la Umoja wa Mataifa, UN, limekuwa likifanya makosa kuongeza muda wa vikosi vya kulinda amani vya MONUSCO kuendelea kuwepo nchini humo.

XS
SM
MD
LG