Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 12:07

Wakimbizi waeleza changamoto kuu ya watoto wao kukosa elimu


Wakimbizi waeleza changamoto kuu ya watoto wao kukosa elimu
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:51 0:00

Wakimbizi katika eneo la Rutshuru, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo walioathiriwa na vita baina ya serikali na kikundi cha waasi cha M23 waeleza matatizo mbalimbali yanayowakabili ikiwemo watoto wao kukosa elimu.

XS
SM
MD
LG