Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 15:53

Wakfu wa Mandela waeleza alivyokuwa karibu na Malkia Elizabeth II


Rais wa zamani na rais mweusi wa kwanza Afrika Kusini Nelson Mandela. (AP Photo/Peter Dejong).
Rais wa zamani na rais mweusi wa kwanza Afrika Kusini Nelson Mandela. (AP Photo/Peter Dejong).

Taasisi ya Nelson Mandela imesema kwamba Mandela alikuwa na uwezo wa kumwita Malkia kwa jina lake la kwanza ikionyesha uhusiano wa kipekee waliokuwa kuwa nao ikiwa ni  fursa adimu inayokinzana na heshima za kifalme.

Taasisi ya Nelson Mandela imesema kwamba Mandela alikuwa na uwezo wa kumwita Malkia kwa jina lake la kwanza ikionyesha uhusiano wa kipekee waliokuwa kuwa nao ikiwa ni fursa adimu inayokinzana na heshima za kifalme, wakfu wa hayati shujaa huyo wa kupinga ubaguzi wa rangi ulisema Ijumaa, wakishirikisha hadithi za uhusiano wao mzuri.

Malkia Elizabeth II, mfalme aliyehudumu kwa muda mrefu zaidi katika historia ya Uingereza, alifariki akiwa na umri wa miaka 96 katika makazi yake ya majira ya joto huko Scotland siku ya Alhamisi.

Kwa kukiri kwake mwenyewe, Nelson Mandela alikuwa mzungumzaji wa lugha ya Kiingereza, na miaka ya baada ya kuachiliwa kutoka gerezani alikuza uhusiano wa karibu na Malkia, "Wakfu wa Nelson Mandela uliandika katika taarifa, kutuma salamu za rambirambi kwa familia ya kifalme.

"Pia walizungumza kwenye simu mara kwa mara, wakitumia majina yao ya kwanza kama ishara ya kuheshimiana na upendo.

XS
SM
MD
LG