Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 13:08

Wajumbe wawili wa India wakutikana na COVID-19 London


Wajumbe wawili wa India wakutikana na COVID-19 London
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:12 0:00

Wasiwasi ulizuka kwenye mkutano wa mawaziri wa mambo ya nje wa nchi Tajiri duniani (G7) baada ya wajumbe wa India kushindwa kuhudhuria kikao baada ya kukutikana na maambukizi ya COVID-19.

XS
SM
MD
LG