Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Februari 09, 2025 Local time: 20:43

43 wafariki kutokana na moto unaoteketeza misitu Algeria


Wafanyakazi wa zima moto wakifanya kazi karibu na kijiji cha Toudja wakati wa moto katika eneo la Kabyle, mashariki mwa Algiers, Ijumaa, Agosti 13, 2021. Moto mwingi ulianza kuteketeza misitu.(Picha AP /Toufik Doudou)
Wafanyakazi wa zima moto wakifanya kazi karibu na kijiji cha Toudja wakati wa moto katika eneo la Kabyle, mashariki mwa Algiers, Ijumaa, Agosti 13, 2021. Moto mwingi ulianza kuteketeza misitu.(Picha AP /Toufik Doudou)

Polisi wa Algeria wamesema kwamba watu 43 wamethibitishwa kufariki kutokana na moto unaoendele akuteketeza misitu kwa siku kadhaa kaskazini mwa nchi hiyo.

Polisi wa Algeria wamesema kwamba watu 43 wamethibitishwa kufariki kutokana na moto unaoendele akuteketeza misitu kwa siku kadhaa kaskazini mwa nchi hiyo.

Zaidi ya matukio ya moto 30 yamezimwa wikendi hii, lakini kuna sehemu ambazo moto huo unaendelea kuwaka, na maafisa wamesema kwamba huenda idadi ya watu waliofariki ikaongezeka.

Zaidi ya familia 1000 zimeokolewa kutoka sehemu ambazo zimeathiriwa zaidi ikiwemo katika eneo la El Tarf, karibu na mpaka na Tunisia.

Watu 13 wamekamatwa, wakiadaiwa kushiriki karika kuwasha moto huo.

XS
SM
MD
LG