Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 04:45

Wafanyakazi waendelea kugoma, washinikiza nyongeza ya mshahara


Wafanyakazi waendelea kugoma, washinikiza nyongeza ya mshahara
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:27 0:00

Maandamano makubwa yaliyoambatana na mgomo wa watumishi wa umma, ambayo hayajawahi kufanyika nchini Afrika Kusini, wakitaka serikali iwaongezee mishahara kutokana na kipindi cha miaka mitatu kupita bila nyongeza yoyote ile.

Wanalalamika kuwa hali ya maisha imeendelea kupanda kama anavyoeleza mmoja wa wafanyakazi wanaoshiriki katika mgomo huo. Sikiliza maelezo kamili kuhusu kiwango ambacho wafanyakazi wanataka kiongezwe katika mshahara wao...

XS
SM
MD
LG