Maonyesho hayo yaliwapa wapenzi wa teknolojia kujaribu vyombo vipya vya teknolojia kukufanya uhisi uko katika eneo la tukio bila ya kusafiri. Waafrika waliokuwepo katika maonyesho hayo walivutiwa na teknolojia itakayoweza kutumika zaidi Afrika katika maeneo kama vile kilimo, fedha na uandishi wa habari. Ungana na mwandishi wetu akikuletea ripoti kamili ya maonyesho haya...
Matukio
-
Januari 28, 2023
Russia yafanya mashambulizi 44 ya anga Ukraine
-
Januari 28, 2023
Je, Arsenal wanaweza kuwa wapinzani wa muda mrefu wa Manchester?
-
Januari 28, 2023
Sudan na Ethiopia wafikia makubaliano ya bwawa lenye utata
-
Januari 27, 2023
Waziri wa Fedha wa Marekani aipongeza Afrika Kusini kwa ujasiri wake