Maonyesho hayo yaliwapa wapenzi wa teknolojia kujaribu vyombo vipya vya teknolojia kukufanya uhisi uko katika eneo la tukio bila ya kusafiri. Waafrika waliokuwepo katika maonyesho hayo walivutiwa na teknolojia itakayoweza kutumika zaidi Afrika katika maeneo kama vile kilimo, fedha na uandishi wa habari. Ungana na mwandishi wetu akikuletea ripoti kamili ya maonyesho haya...
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC