Kwa siku mbili mfululizo kiongozi wa waasi sudan kusini, Riek Machar hakufika Juba kama ilivyotarajiwa kufuatana na makubaliano ya amani baina ya serikali na Upinzani; na, Baada ya miaka kadhaa ya misukosuko, sarafu ya Congo Franc, yaanza kushuka tena dhidi ya dola ya Kimarekani.