Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 15:16

Wahamiaji wanaokimbia thalia wamkumbwa na sheria mpya za Marekani


Wahamiaji wanaokimbia thalia wamkumbwa na sheria mpya za Marekani
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:12 0:00

Wahamiaji wanaokimbia umasikini na vitisho vya ghasia wamekumbwa na sheria za Marekani za uhamiaji na hifadhi zainazoendelea kubadilika. Kulingana na programu ya Marekani ambayo imepanuliwa, baadhi ya wale wanaowasili Marekani, wanalazimika kusubiri kesi zao kusikilizwa wakiwa nchini Mexico.

XS
SM
MD
LG