Wahamiaji wanaokimbia thalia wamkumbwa na sheria mpya za Marekani
Wahamiaji wanaokimbia umasikini na vitisho vya ghasia wamekumbwa na sheria za Marekani za uhamiaji na hifadhi zainazoendelea kubadilika. Kulingana na programu ya Marekani ambayo imepanuliwa, baadhi ya wale wanaowasili Marekani, wanalazimika kusubiri kesi zao kusikilizwa wakiwa nchini Mexico.