Balozi wa Marekani Christopher Stevens
1/9
French military personnel try to control supporters who are asking them to disarm fighting gangs, near the airport in Bangui, Central African Republic. France appealed to European partners for assistance in quelling months of religious violence in its former colony.
Balozi wa Marekani nchini Libya na wafanyakazi watatu wa ubalozi wameuliwa baada ya kundi la watu kuvamia afisi ya ubalozi mdogo wa Marekani katika mji wa mashariki wa Benghazi usiku Jumanne. J. Christopher Stevens,ni mmoja kati ya maafisa wenye ujuzi mkubwa wa mashariki ya kati katika wizara ya mambo ya kigeni.
2/9
John Christopher Stevens, balozi mpya wa Marekani nchini Libya, akisalimiana na mwenyekiti wa Baraza la Mpito la Kitaifa Libya (NTC) Mustafa Abdel Jalil (Kulia) baada ya kumkabidhi stakbadhi zake za uteuzi mjini Tripoli, June 7, 2012.
Balozi wa Marekani nchini Libya na wafanyakazi watatu wa ubalozi wameuliwa baada ya kundi la watu kuvamia afisi ya ubalozi mdogo wa Marekani katika mji wa mashariki wa Benghazi usiku Jumanne. J. Christopher Stevens,ni mmoja kati ya maafisa wenye ujuzi mkubwa wa mashariki ya kati katika wizara ya mambo ya kigeni.
3/9
U.S. envoy Chris Stevens akizungumza na waandishi habari wa Libya katika hoteli ya Tibesty (April 2011 file photo)
Balozi wa Marekani nchini Libya na wafanyakazi watatu wa ubalozi wameuliwa baada ya kundi la watu kuvamia afisi ya ubalozi mdogo wa Marekani katika mji wa mashariki wa Benghazi usiku Jumanne. J. Christopher Stevens,ni mmoja kati ya maafisa wenye ujuzi mkubwa wa mashariki ya kati katika wizara ya mambo ya kigeni.
4/9
U.S. envoy Chris Stevens, katikati, akifuatana na mjumbe wa Uingereza Christopher Prentice, kushoto, akizungumza na diwani wa Misrata Dr. Suleiman Fortia, kulia, katika hoteli ya Tibesty Benghazi.
Balozi wa Marekani nchini Libya na wafanyakazi watatu wa ubalozi wameuliwa baada ya kundi la watu kuvamia afisi ya ubalozi mdogo wa Marekani katika mji wa mashariki wa Benghazi usiku Jumanne. J. Christopher Stevens,ni mmoja kati ya maafisa wenye ujuzi mkubwa wa mashariki ya kati katika wizara ya mambo ya kigeni.
5/9
Wajumbe wa Uingereza na Marekani kwa wapinzani wa Libya Christopher Prentice (kushoto) na Chris Stevens wakihudhuria mkutano wa waandishi habari na kiongozi wa waasi Mustafa Abdul Jalil (hayumo kwenye picha) baada ya kukutana na baadhi ya viongozi wa nchi za Afrika katika ngome ya waasi Benghazi
Balozi wa Marekani nchini Libya na wafanyakazi watatu wa ubalozi wameuliwa baada ya kundi la watu kuvamia afisi ya ubalozi mdogo wa Marekani katika mji wa mashariki wa Benghazi usiku Jumanne. J. Christopher Stevens,ni mmoja kati ya maafisa wenye ujuzi mkubwa wa mashariki ya kati katika wizara ya mambo ya kigeni.
6/9
US diplomatic envoy to rebel held Libya Chris Stevens (R), Britain's diplomatic representative Christopher Prentice (L) and deputy chairman of the TNC Abdul Hafiz Ghoqa (C) hold candles during a memorial service for slain photojournalists Tim Hetherington
Balozi wa Marekani nchini Libya na wafanyakazi watatu wa ubalozi wameuliwa baada ya kundi la watu kuvamia afisi ya ubalozi mdogo wa Marekani katika mji wa mashariki wa Benghazi usiku Jumanne. J. Christopher Stevens,ni mmoja kati ya maafisa wenye ujuzi mkubwa wa mashariki ya kati katika wizara ya mambo ya kigeni.
7/9
Jengo la ubalozi mdogo wa Marekani mjini Benghazi mashariki ya Libya likiwaka moto
Balozi wa Marekani nchini Libya na wafanyakazi watatu wa ubalozi wameuliwa baada ya kundi la watu kuvamia afisi ya ubalozi mdogo wa Marekani katika mji wa mashariki wa Benghazi usiku Jumanne. J. Christopher Stevens,ni mmoja kati ya maafisa wenye ujuzi mkubwa wa mashariki ya kati katika wizara ya mambo ya kigeni.
8/9
Ubalozi mdogo wa Marekani Benghazi Libya umeharibiwa na watu walokuwa na hasira.
Balozi wa Marekani nchini Libya na wafanyakazi watatu wa ubalozi wameuliwa baada ya kundi la watu kuvamia afisi ya ubalozi mdogo wa Marekani katika mji wa mashariki wa Benghazi usiku Jumanne. J. Christopher Stevens,ni mmoja kati ya maafisa wenye ujuzi mkubwa wa mashariki ya kati katika wizara ya mambo ya kigeni.
9/9
Jengo la ubalozi wa Marekani Benghazi, Libya baada ya kushambuliwa
Balozi wa Marekani nchini Libya na wafanyakazi watatu wa ubalozi wameuliwa baada ya kundi la watu kuvamia afisi ya ubalozi mdogo wa Marekani katika mji wa mashariki wa Benghazi usiku Jumanne. J. Christopher Stevens,ni mmoja kati ya maafisa wenye ujuzi mkubwa wa mashariki ya kati katika wizara ya mambo ya kigeni.
Previous slide
Next slide
Maafisa wa Libya wanasema Balozi wa Marekani nchini Libya, Christopher Stevens, na wafanyakazi wengine wa ubalozi wameuawa baada ya kundi la watu kuvamia ubalozi mdogo katika mji wa Benghazi Jumanne usiku.
Vifo hivyo vimetokea baada ya waandamanaji waliokasirishwa na sinema iliyotengenezwa Marekani ikimkashifu Mtume Muhammad kufyatulia risasi na kuchoma moto sehemu za ubalozi huo mjini Benghazi.
Balozi J. Christopher Stevens, mwanadiplomasia wa siku nyingi na mmoja wa mabalozi wenye uzoefu mkubwa katika eneo hilo, alikuwa nchini humo chini ya miezi minne tu baada ya kuchukua wadhifa huo mjini Tripoli mwezi Mei.
Waziri mdogo wa mambo ya ndani wa Libya Wanis al-Sharif alisema balozi huyo aliuawa "pamoja na maafisa wengine watatu," akithibitisha kuwa Stevens alikuwepo ndani ya ubalozi huo uvamizi ulipotokea.
Sharif aliwaambia waandishi kuwa kundi la watu wenye silaha walishambulia ubalozi huo katika hali ya "kujitoa mhanga." Alisema ubalozi wa Marekani "una makosa" kwa kutochukua hatua za kutosha. Wizara ya mambo ya nje ya Marekani haijatoa tamko lolote kuhusiana na habari hiyo.