Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 15:49

Upinzani huko Uganda wasusia mkutano wake na Rais Museveni


Kiongozi wa FDC Dr. Kizza Besigye
Kiongozi wa FDC Dr. Kizza Besigye

Chama kikuu cha upinzani nchini Uganda-FDC kimesusia mkutano kati yake na Rais Yoweri Museveni.

Mkutano huo ulilenga kutafuta mbinu ambazo uongozi wa bwana Museeveni unaweza kufanya kazi na viongozi wa chama cha FDC katika jiji la Kampala baada ya chama tawala cha bwana Museveni cha NRM kukosa kupata kiongozi yeyote aliyechaguliwa katika uchaguzi wa mwezi Februari.

Mwandishi wetu wa kampala kennes Bwire anaripoti zaidi.

please wait

No media source currently available

0:00 0:02:21 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

XS
SM
MD
LG