Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 25, 2025 Local time: 01:50

UNHCR yaeleza changamoto zinazowakabili katika kufungua kambi ya nne Kenya


UNHCR yaeleza changamoto zinazowakabili katika kufungua kambi ya nne Kenya
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:13 0:00

Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya wakimbizi limesema mbali na kambi ya Daadab ina mipango wa kufungua kambi ya nne katika miezi michache ijayo nchini Kenya. Ungana na mwandishi wetu akikuletea changamoto zinazowakabili katika kutekeleza azma hiyo. Endelea kusikiliza...

XS
SM
MD
LG