Imeyataja makundi husika yenye silaha ikwemo ADF, M23 na makundi mengine ya waasi kunachochea ukosefu wa usalama mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na pia kuongezeka kwa hali ya kutoaminiana na mivutano kati ya nchi za kanda hiyo, DRC na Rwanda. Hivyo mwakilishi anatoa mapendekezo na hatua ambazo zinapaswa kuchukuliwa. Endelea kumsikiliza...
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC