Imeyataja makundi husika yenye silaha ikwemo ADF, M23 na makundi mengine ya waasi kunachochea ukosefu wa usalama mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na pia kuongezeka kwa hali ya kutoaminiana na mivutano kati ya nchi za kanda hiyo, DRC na Rwanda. Hivyo mwakilishi anatoa mapendekezo na hatua ambazo zinapaswa kuchukuliwa. Endelea kumsikiliza...
Matukio
-
Machi 05, 2024
Je, nini Super Tuesday?
-
Machi 05, 2024
Misaada ya kimataifa yaanza kuwasili Sudan
-
Februari 12, 2024
Polisi wapambana na waandamanai Kinshasa
-
Februari 06, 2024
Polisi wavambia bunge la Senegal na kuwaondoa wabunge wa upinzani.