“Hatuna operesheni ya kibinadamu kusini mwa Gaza ambayo inaweza kufanyika tena,” Martin Griffiths aliwaeleza waandishi wa habari huko Umoja wa Mataifa mjini Geneva.
Amesema umekuwa mpango usiokuwa na uhakika wa kupata misaada ya kibinadamu na pale wanapoweza.
Amesema japo hilo ni la kushangaza na lisilo tegemewa japokuwa Umoja wa Mataifa na mashirika ya kibinadamu hayata-waacha watu wa Gaza.
Israeli ilihamishia harakati zake za kijeshi kusini mwa Gaza Desemba 1, baada kuvunjika kwa makubaliano ya siku saba ya kusimamisha mapigano kupisha juhudi za kibinadamu.
Forum