Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 00:38

Ulimwengu washangazwa na uvamizi wa wafuasi wa Trump bungeni


Ulimwengu washangazwa na uvamizi wa wafuasi wa Trump bungeni
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:09 0:00

Ulimwengu washangazwa na tukio la wafuasi wa Rais Donald Trump kuvuruga kikao cha Bunge la Marekani cha kurasmisha ushindi wa Joe Biden.

- Nana Akufo-Addo aapishwa kuwa rais kwa muhula wa pili siku mmoja baada ya kutokea vurugu bungeni nchini Ghana.

-Sudan yapata mkopo kutoka Marekani pamoja na kusaini mkataba mwengine wa kurejesha uhusiano mwema na Israeli.
XS
SM
MD
LG