Mazungumzo hayo yanayotarajiwa kufanyika mwakani, rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, amesema katika hotuba yake ya kila siku Jumapili.
“Katika siku zijazo, pamoja na Tume ya Ulaya, tutazindua rasmi mchakato wa kutathmini sheria za Ukraine kwa kufuata sheria za EU,” Zelenskyy amesema.
Tume ya Ulaya mwezi uliopita iliripoti kwamba Ukraine, imetimiza mapendekezo manne kati ya saba ya mazungumzo ya kujiunga na Umoja wa Ulaya, ikiwa ni pamoja na kuajiri maafisa wa kupambana na rushwa, kuandaa mahakama kwa ajili ya marekebisho makubwa na kuoanisha sheria ya vyombo vya habari kwa viwango vya EU.
Forum