Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Januari 16, 2025 Local time: 08:58

Uharibifu wa kimbunga Chido


Uharibifu uliowachwa na kimbunga Chido katika wilaya ya Mecufi, Cabo Delgado Msumbiji, Dec. 16, 2024.
Uharibifu uliowachwa na kimbunga Chido katika wilaya ya Mecufi, Cabo Delgado Msumbiji, Dec. 16, 2024.

Sehemu za kisiwa cha Mayotte kilicho chini ya usimamizi wa Ufaransa, zinaendelea kukadiria hasara kubwa leo Jumatano, baada ya kimbunga Chido kupiga kisiwa hicho jumamosi.

Mabati ya nyumba yalirushwa juu ya milima kutoka miji iliyo sehemu za kaskazini mashariki

Idara ya hali ya hewa ya Ufaransa imesema kimbunga Chido kilikuwa kimbunga chenye nguvu zaidi kupiga Mayotte katika muda wa zaidi ya miaka 90.

Maafisa wa Ufaransa wamesema mamia au hata maelfu ya watu huenda wamefariki kutoka na kimbunga hicho.

Kufikia sasa, watu 22 pekee wamethibitishwa kufariki.

Ni vigumu kufikia sehemu nyingi za kisiwa hicho kutokana na miundo mbinu mibovu, inayopelekea shughuli ya uokoaji kuwa ngumu.

Forum

XS
SM
MD
LG