Kukosa kulipa fauna yaks ya kosa la trafiki, kunaifanya faini hio kupanda na mara nyingi hali hio inazifanya jamii kuwageuka walinzi wa usalama. Huko mini Ferguson jimbo la Missouri, mauwaji ya kijana mweusi alokuwa hana silaha ,taka mitano ilopita, yalipelekea jamii huko na polisi kutathmini mienendo yao na kuibua mjadala wa kitaifa.
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.