Kukosa kulipa fauna yaks ya kosa la trafiki, kunaifanya faini hio kupanda na mara nyingi hali hio inazifanya jamii kuwageuka walinzi wa usalama. Huko mini Ferguson jimbo la Missouri, mauwaji ya kijana mweusi alokuwa hana silaha ,taka mitano ilopita, yalipelekea jamii huko na polisi kutathmini mienendo yao na kuibua mjadala wa kitaifa.
Matukio
-
Januari 21, 2021
Sherehe za kuapishwa Joseph Biden Rais wa 46 wa Marekani
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
Facebook Forum