Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Machi 08, 2026 Local time: 11:10

Uganda na DRC zakubaliana kuendelea na operesheni ya kulitokomeza kundi la ADF


Uganda na DRC zakubaliana kuendelea na operesheni ya kulitokomeza kundi la ADF
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:49 0:00

Mkuu wa Majeshi ya Uganda pamoja na mwenzie wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wakubaliana kuendelea na operesheni za pamoja yenye lengo la kuwatokomeza wapiganaji kutoka kundi la kigaidi la ADF linalohusishwa na uhalifu wilayani Beni, Kivu Kaskazini.

XS
SM
MD
LG