Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Julai 27, 2024 Local time: 04:55

Uganda kuwasaka waasi wa ADF DRC


Mkuu wa polisi wa Uganda Jenerali Edward Kale Kayihura
Mkuu wa polisi wa Uganda Jenerali Edward Kale Kayihura

Kulingana na mkuu wa polisi wa Uganda generali Kale Kayihura, Jamhuri ya Congo imeficha makundi ya waasi wanaotishia usalama wa Uganda na ni heri yasambaratishwe kabla ya kutekeleza maafa Uganda.

Uganda imetishia kuingia nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo kwa lazima na kuwasaka waasi wa Allied democratic forces -ADF.

Kulingana na mkuu wa polisi wa Uganda generali Kale Kayihura, Jamhuri ya Congo imeficha makundi ya waasi wanaotishia usalama wa Uganda na ni heri yasambaratishwe kabla ya kutekeleza maafa Uganda.

uganda kufichua waasi congo
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:56 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

Amesema Uganda iko tayari na imejipanga kuhakikisha waasi wanafichuliwa kabla hawajavamia nchi yao.

Amesema ni vyema serikali za nchi hizo mbili kutambua hatari hiyo na kuchukua hatua za aharaka.

XS
SM
MD
LG