Mgombezi urais wa upinzani nchini Uganda Amama Mbabazi, ametaka tume ya uchaguzi kutoa maelezo zaidi ya jinsi ndege iliyobeba karatasi za kupigia kura za urais ilivyochelewa kuasili Uganda kwa mda wa saa nne wakati ikitoka Afrika kusini.
Mbabazi ambaye amesikika mara kadhaa akidai kujua ujanja wote wa kuiba kura, ameeleza kutoridhika na sababu iliyotolewa kwamba hali mbaya ya hewa ndiyo iliichelewesha ndege hiyo, wakati tetesi zikiendelea kutolewa kwamba ndege hiyo ilitangulia kutua nchini