Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 21:56

Ufaransa na washirika wake kuwaondoa wanajeshi wao Mali


Ufaransa na washirika wake kuwaondoa wanajeshi wao Mali
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:33 0:00

Ufaransa na washirika wake katika kikosi cha Ulaya nchini Mali wametangaza Alhamisi wanajeshi wake wataondolewa kutoka Mali baada ya miaka 10 ya kupambana na uasi unaoendeshwa na wapiganaji wa Kiislamu.

XS
SM
MD
LG