UCHAGUZI MAREKANI: Kupambana na habari za uongo
Nyakati hizi ambapo kuna habari nyingi za uongo zinazosambaa, imekuwa vigumu sana kwa watu kubaini ukweli ni upi. Lakini kama Tina Trinch anavyoripoti, makampuni ya teknolojia yanasaidia watu kupata maarifa ya kutofautisha habari za uongo na zile za ukweli. Idd Ligongo anaisoma taarifa kamili.
Matukio
-
Februari 10, 2023
Hotuba ya Hali ya Kitaifa: Biden azungumzia mvutano na China
-
Februari 06, 2023
Marekani: Rais Biden atatoa Hotuba ya Hali ya Kitaifa 2023
Facebook Forum