Makamu wa Rais Mike Pence alimwapisha Tillerson katika ofisi ya Oval ya ikulu ya White House ambako tukio hilo lilishuhudiwa na Rais Donald Trump.
Tillerson alimshukuru Trump kwa kumpa kile alichokiita “nafasi kunjufu,” na kusema kuwa siku zote atayasimamia maslahi ya Wamarekani.