Amesema ugonjwa upo Tanzania na kuna wagonjwa wanaendelea kupatiwa matibabu,
“Nataka niwe mkweli, Tanzania tuna wagonjwa katika hili wimbi la tatu. Mpaka taarifa nilizozipata juzi, nadhani kuna wagonjwa kama 100 na…, kati yao si chini ya 70 wako kwenye matibabu ya gesi, wengine wako kwenye matibabu ya kawaida,” amesema Rais Samia.
Tathmini ya Siku 100 : Rais Samia asema COVID-19 ipo Tanzania
Matukio
-
Januari 31, 2023
Muungano wa upinzani Tunisia wapinga utawala wa Rais Saied
-
Januari 28, 2023
Russia yafanya mashambulizi 44 ya anga Ukraine
-
Januari 28, 2023
Je, Arsenal wanaweza kuwa wapinzani wa muda mrefu wa Manchester?
-
Januari 28, 2023
Sudan na Ethiopia wafikia makubaliano ya bwawa lenye utata
Facebook Forum