Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Desemba 14, 2025 Local time: 11:55

Tanzania : Tishio la maambukizi baada ya ushauri wa kujikinga kupuuzwa


Tanzania : Tishio la maambukizi baada ya ushauri wa kujikinga kupuuzwa
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Baadhi ya Watanzania waendelea kupuuza ushauri wa kujikinga na virusi vya Corona huku serikali ikisema chanjo zipo.

- Serikali ya Madagascar yasema njama za kumuua rais wa nchi hiyo zagonga mwamba.

- Na China yakataa mapendekezo ya WHO ya kufanyiwa uchunguzi zaidi asili ya virusi vya Corona.
XS
SM
MD
LG