Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 15:38

Tanzania : Kamati yashauri serikali iruhusu chanjo ya COVID-19


Tanzania : Kamati yashauri serikali iruhusu chanjo ya COVID-19
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Kamati maalum iliyoundwa na Rais wa Tanzania kushauri kuhusu COVID-19 yapendekeza nchi hiyo iruhusu chanjo ya ugonjwa wa Corona.

Taasisi za Kiislam nchini Marekani zimesusia Jumapili sherehe za Eid el Fitr zilizoandaliwa na White House kwa njia ya mitandao.

Israeli yashambulia njia za chini kwa chini inazodai zinatumiwa na kikundi cha Hamas.
XS
SM
MD
LG