Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 04:00

Tanzania inaendelea kutafiti teknolojia ya kutokomeza malaria


Tanzania inaendelea kutafiti teknolojia ya kutokomeza malaria
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:09 0:00

Taasisi ya Utafiti wa Afya ya Ifakara inaendelea kutafuta mbinu ya kutumia teknolojia kubadilisha vinasaba vya mbu na kufanya visiwe na uwezo wa kubeba vimelea vya malaria na pia kubadilisha uwezo wa mbu kuzaa.

XS
SM
MD
LG