Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 17:23

Wapiga kura Tanzania watakiwa kujua utaratibu


Mkurugenzi wa uchaguzi Kailimi Ramadhani
Mkurugenzi wa uchaguzi Kailimi Ramadhani

Tume ya uchaguzi nchini Tanzania imewataka wananchi kujielimisha kuhusu utaratibu na haki yao ya kupiga kura kwa njia ya amani wakati wa uchaguzi mkuu Oktoba 25.

Elimu kwa wapiga kura
please wait

No media source currently available

0:00 0:05:09 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

Maafisa wa tume wanasema kwa wiki kadha sasa wamekuwa wakitoa elimu kwa wapiga kura kuhusu kile wanachotakiwa kufanya kuhakikisha hawapotezi haki yao ya kupiga kura siku hiyo itakapofika.

Watanzania wapatao millioni 22 wanatazamiwa kushiriki katika zoezi hilo. Tume ya uchaguzi pamoja na makundi ya kijamii yanatoa maelekezo kamili kwa ili wapiga kura wafanikishe zoezi hilo.

Katika mfululizo wa makala zetu maalum tunaangalia juhudi hizo za kuelimisha wapiga kura.

XS
SM
MD
LG