Leo hii tunamuangazia Omar Fateh ambaye wazazi wake ni kutoka Somalia. Fateh anaishi katika mji wa Minneapolis tunazungumzia wasifu wake na safari iliyomfikisha kushinda nafasi ya useneta katika wilaya ya 62 huko Minneapolis.
Matukio
-
Februari 08, 2023
Rais Biden ahutubia Bunge la Marekani
-
Februari 04, 2023
Wananchi wa Peru washinikiza kufanyika uchaguzi, waandamana
-
Februari 04, 2023
Mkazi wa Haiti anayejulikana kimataifa, akanusha kujihusisha na uhalifu
Facebook Forum