Eneo la bunge la Marekani U.S. Capitol liliwekwa katika hali ya tahadhari Alhamisi mchana baada ya milio ya bunduki kuripotiwa nje ya jengo hilo, mtu mmoja inasemekana amejeruhiwa.
Milio ya Risasi yasikika nje ya Jengo la Bunge Marekani
9
Wafanyakazi wa dharura karibu na maafisa polisi baada ya tukio hilo.
10
Polisi wa Capitol Hill na wafanyakazi wa huduma za afya wakimwondoa mtu aliyepigwa risasi katika machela.
11
Wafanyakazi wa dharura wakisaidia mtu aliyejeruhiwa.
12
Wafanyakazi wa uokozi wakiwa karibu na gari la polisi lililoharibika kufuatia ufyatuaji risasi karibu na Capitol Hill Washington.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017