Shirika hilo ambalo ni mojawapo ya makampuni makubwa zaidi barani Afrika, huenda likalazimika kupunguza baadhi ya safari za ndege iwapo changamoto za kupata vifaa hivyo zitaendelea, Afisa Mtendaji Mkuu Allan Kilavuka alisema katika taarifa yake.
Changamoto zimesababishwa na mzozo wa vita vya Ukraine, ambao umelemaza kwa kiasi kikubwa mlolongo wa usambazaji wa Russia muhimu kwa usafiri wa anga duniani," alisema.
Aliitaja Titanium kutoka Russia kuwa ni moja ya malighafi muhimu inayotumiwa na sekta ya anga, na ni muhimu kwa matengenezo ya ndege.
Facebook Forum