Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 27, 2025 Local time: 12:26

Shambulizi  la ndege isiyo na rubani Sudan lauwa watu 30


Wodi iliyojaa majeruhi katika hospitali ya El Fasher katika eneo la Darfur Kaskazini tarehe 21, 2023. Picha na Ali SHUKUR / Médecins sans Frontières (MSF) / AFP.
Wodi iliyojaa majeruhi katika hospitali ya El Fasher katika eneo la Darfur Kaskazini tarehe 21, 2023. Picha na Ali SHUKUR / Médecins sans Frontières (MSF) / AFP.

Shambulizi  la ndege isiyo na rubani kwenye moja ya hospitali za mwisho zinazofanya kazi huko El-Fasher katika jimbo la Darfur nchini Sudan liliuwa watu 30 na kujeruhi kadhaa, chanzo cha watabibu kilisema  Jumamosi.

Shambulizi la ndege isiyo na rubani kwenye moja ya hospitali za mwisho zinazofanya kazi huko El-Fasher katika jimbo la Darfur nchini Sudan liliuwa watu 30 na kujeruhi kadhaa, chanzo cha watabibu kilisema leo Jumamosi.

Mlipuko wa bomu katika Hospitali ya Saudia Ijumaa jioni ulisababisha uharibifu wa jengo la hospitali hiyo ambako wagonjwa wa dharura walitibiwa, chanzo kiliiambia AFP, kikiomba kutotajwa jina kwa hofu ya kulipiziwa kisasi.

Haijabainika mara moja ni upande upi kati ya hizo zinazopigana za Sudan zilizoanzisha mashambulizi hayo.

Tangu Aprili 2023, jeshi la Sudan limekuwa katika vita na Wanajeshi wa kikosi cha dharura -RSF ambao wameliteka karibu eneo lote la magharibi mwa Darfur.

Mlipuko wa bomu katika Hospitali ya Saudia Ijumaa jioni ulisababisha uharibifu wa jengo la hospitali hiyo ambako wagonjwa wa dharura walitibiwa, chanzo kiliiambia AFP, kikiomba kutotajwa jina kwa hofu ya kulipiziwa kisasi.

Haijabainika mara moja ni upande upi kati ya hizo zinazopigana za Sudan zilizoanzisha mashambulizi hayo.

Tangu Aprili 2023, jeshi la Sudan limekuwa katika vita na Wanajeshi wa kikosi cha dharura -RSF ambao wameliteka karibu eneo lote la magharibi mwa Darfur.

Forum

XS
SM
MD
LG