Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Machi 29, 2023 Local time: 06:36

Senegal: Fursa ya vijana kutumia eneo la pwani kuendeleza kipaji cha soka


Senegal: Fursa ya vijana kutumia eneo la pwani kuendeleza kipaji cha soka
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:53 0:00

Vijana wanaazma ya kukuza vipaji vyao kupitia kandanda ya pwani nchini Senegal, wanataka kuwa wachezaji wa kulipwa na ndio ndoto yao inapoanzia na hatimaye kuingia katika timu ya Taifa ya Senegal.

XS
SM
MD
LG