Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Mei 01, 2026 Local time: 22:46

Trump, Sanders washinda New Hampshire

Sen. Bernie Sanders akiwa katika kampeni, New Hampshire
Sen. Bernie Sanders akiwa katika kampeni, New Hampshire

MANCHESTER, NEW HAMPSHIRE - Vyombo vya habari kadha Marekani vinatangaza kuwa matokeo ya awali yanaonyesha tajiri Mrepublican Donald Trump na Seneta kutoka Vermont Bernie Sanders wameshinda uchaguzi wa awali katika jimbo la New Hampshire lililopo kaskazini-mashariki mwa nchi.

Hali ilianza kujitokeza mara tu baada ya vituo vya kura kufungwa baada ya watu wengi kujitokeza kupira kura.

This item is part of
XS
SM
MD
LG