Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 21, 2023 Local time: 17:30

Samia awataka mawaziri washikamane


Samia awataka mawaziri washikamane
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:02 0:00

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewabadilisha mawaziri na manaibu wao katika baadhi ya wizara ili kuongeza ufanisi katika utendaji kazi wao na kuwataka washikamane na kufanya kazi kwa manufaa ya taifa.

XS
SM
MD
LG