Wakati hilo lilipotokea wafuasi wa chama hicho walikuwa na wasiwasii wa kutokujua yuko wapi.
Sunday Shomari amezungumza na Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema John Mrema na kwanza kutaka kujua Polisi wanasema nini mpaka sasa juu ya kukamtwa kwake?
Sunday Shomari amezungumza na Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema John Mrema na kwanza kutaka kujua Polisi wanasema nini mpaka sasa juu ya kukamtwa kwake?