Mane alipata jeraha hilo wakati wa ushindi wa bao 6-1 dhidi ya Werder Bremen kwenye ligi ya Bundesliga tarehe 8 Novemba mwaka jana.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30, ambaye alijiunga na Bayern kutoka Majogoo wa Uingereza Liverpool msimu uliopita wa joto, baadaye alifanyiwa upasuaji na kuunganishwa tena kwenye sehemu ya juu ya mshipa wake wa kulia.
Facebook Forum