Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Gutteres ametoa wito wa kuwasilishwa kwa haraka msaada wa kibinadamu kwa haraka kwa watu wanaokabiliwa na mgogoro wa vita nchini Sudan.
Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari