Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 23:17

Ripoti zaonyesha mazingira ya waandishi wa habari ni mabaya katika nchi saba


Ripoti zaonyesha mazingira ya waandishi wa habari ni mabaya katika nchi saba
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Dunia yaadhimisha uhuru wa vyombo vya habari huku ripoti mbalimbali zikitolewa zikionyesha mazingira ya waandishi wa habari ni mabaya katika nchi saba kati ya kumi kote duniani.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Gutteres ametoa wito wa kuwasilishwa kwa haraka msaada wa kibinadamu kwa haraka kwa watu wanaokabiliwa na mgogoro wa vita nchini Sudan.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG