Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 26, 2024 Local time: 03:07

Wanariadha na wageni wafurika Rio kuhudhuria Olimpiki


Leonardo Espindola akiwa ameshika mwenge wa Olimpiki kabla ya ufunguzi rasmi wa michezo hiyo Ijumaa tarehe 5 Julai mjini Rio de Janeiro, Brazil
Leonardo Espindola akiwa ameshika mwenge wa Olimpiki kabla ya ufunguzi rasmi wa michezo hiyo Ijumaa tarehe 5 Julai mjini Rio de Janeiro, Brazil

Wanariadha,timu za michezo pamoja na mashabiki kutoka pembe zote za ulimwengu wameanza kuwasili mjini Rio de Janeiro,Brazil kuhudhuria michezo ya Olimpiki

Wanariadha,timu za michezo pamoja na mashabiki kutoka pembe zote za ulimwengu wameanza kuwasili mjini Rio de Janeiro,Brazil kabla ya kufunguliwa kwa michezo ya Olimpiki ya 2016, siku ya Ijumaa.

Michezo hiyo imekumbwa na utata kuhusu kusitishwa kwa Russia baada ya kasfa ya utumizi wa madawa ya kusisimua misuli pamoja na madai ya dhuluma kutoka kwa makundi ya kutetea haki za kibinaamu. Ufukwe wa Ipanema umefurika wageni tangu mwanzo wa juma hili.

XS
SM
MD
LG