Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 11:31

Rais wa zamani wa Ufaransa afungwa jela


Rais wa zamani wa Ufaransa afungwa jela
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:18 0:00

Mahakama moja nchini Ufaransa imemhukumu Rais wa zamani Nicolas Sarkozy kutumikia kifungo cha mwaka moja jela baada ya kumkuta na hatia ya matumizi ya fedha za kampeni kinyume cha sheria wakati wa kampeni yake mwaka 2012 kutaka kuchaguliwa tena.

XS
SM
MD
LG