Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 00:00

Rais wa Uturuki apokelewa kwa shangwe Nigeria


Rais wa Uturuki apokelewa kwa shangwe Nigeria
please wait

No media source currently available

0:00 0:00:54 0:00

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amemkaribisha Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan nchini kwake Jumatano. Erdogan atakuwa katika taifa hilo maarufu katika bara la Afrika kwa ziara ya siku mbili ya kikazi.

XS
SM
MD
LG