Bio mwenye umri wa miaka 59, anawania muhula wa pili dhidi ya wapinzani 12. Mpinzani wake mkubwa ni mgombea wa All People's Congress (APC) Samura Kamara, ambaye alishindwa kwa kura chache na Bio katika uchaguzi uliopita wa 2018.
Karatasi ya matokeo ya awali ilionyesha Bio amepata zaidi ya kura milioni 1 kufikia sasa, ikilinganishwa na chini kidogo ya laki 8 za Kamara. Matokeo ya mwisho yaliyothibitishwa yatatangazwa ndani ya saa 48 zijazo, tume hiyo ilisema Jumatatu mchana.
Forum