Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 12:55

Rais wa El Salvado ashutumiwa kutoheshimu wanahabari


Wakosowaji wa rais wa El Salvador, Nayib Bukele, wanamshutumu kwa kutojali wanahabari na uhuru wa vyombo vya habari.

Anadaiwa ni nadra sana anafanya mikutano na wanahabari na mara nyingi anapendelea kutumia mtandao wa Twitter kutoa taarifa zake.

Inaelezwa licha ya kutojali kuulizwa maswali kuhusu sera zake, wachambuzi wanaelezea kuwa rais Bukele, huwa Haiti vyombo vya habari ambavyo humkosoa yeye na serekali yake.

Mitandao inayo heshimika kama vile El Faro, na Revista Factum, ambayo imejikita katika kuripoti masuala ya rushwa, ni miongozi ya ile inayolengwa na shutuma za kujihusisha kuanzia utakatishaji fedha mpaka utoaji wa ripoti za uongo.

XS
SM
MD
LG