Gay alikabiliwa na shinikizo la kujiuzulu kutoka kwa jumuiya ya kiyahudi ya Havard, na baadhi ya wabunge kutokana na maoni yake katika mahojiano katika bunge ya Desemba 5, na toka kipindi hicho amekuwa akikabiliwa na shutuma kadhaa za wizi wa kazi za kitaaluma katika kazi zake za kitaaluma katika mieizi ya hivi karibuni.
Katika barua yake ya kujiuzulu kwa jamii ya chuo kikuu cha Havard, Gay amesema uamuzi wake wa kujiuzulu umekuwa ni mgumu kuliko namna anavyoweza kujieleza.
Forum