Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan atangaza nia ya kufanyika kwa marekebisho ya kikatiba pamoja na kuruhusu tena mikutano ya kisiasa. Ruhusa ya mikutano ya hadhara ni miongoni mwa agenda za muda mrefu ya vyama vya upinzani. Januari 3, 2023 Ikulu Jijini Dar es Salaam Rais Samia amesema; "Uwepo wangu leo mbele yenu ni kuja kufanya ruhusa, kuja kutangaza liletangazo la kuzuia mikutano ya hadhara Sasa linaondoka."
Matukio
-
Machi 05, 2024
Je, nini Super Tuesday?
-
Machi 05, 2024
Misaada ya kimataifa yaanza kuwasili Sudan
-
Februari 12, 2024
Polisi wapambana na waandamanai Kinshasa
-
Februari 06, 2024
Polisi wavambia bunge la Senegal na kuwaondoa wabunge wa upinzani.