Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 16:21

Rais Samia atangaza kuruhusu mikutano ya hadhara ya kisiasa


Rais Samia atangaza kuruhusu mikutano ya hadhara ya kisiasa
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:13 0:00

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan atangaza nia ya kufanyika kwa marekebisho ya kikatiba pamoja na kuruhusu tena mikutano ya kisiasa. Ruhusa ya mikutano ya hadhara ni miongoni mwa agenda za muda mrefu ya vyama vya upinzani.

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan atangaza nia ya kufanyika kwa marekebisho ya kikatiba pamoja na kuruhusu tena mikutano ya kisiasa. Ruhusa ya mikutano ya hadhara ni miongoni mwa agenda za muda mrefu ya vyama vya upinzani. Januari 3, 2023 Ikulu Jijini Dar es Salaam Rais Samia amesema; "Uwepo wangu leo mbele yenu ni kuja kufanya ruhusa, kuja kutangaza liletangazo la kuzuia mikutano ya hadhara Sasa linaondoka."

XS
SM
MD
LG