Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan atangaza nia ya kufanyika kwa marekebisho ya kikatiba pamoja na kuruhusu tena mikutano ya kisiasa. Ruhusa ya mikutano ya hadhara ni miongoni mwa agenda za muda mrefu ya vyama vya upinzani. Januari 3, 2023 Ikulu Jijini Dar es Salaam Rais Samia amesema; "Uwepo wangu leo mbele yenu ni kuja kufanya ruhusa, kuja kutangaza liletangazo la kuzuia mikutano ya hadhara Sasa linaondoka."
Matukio
-
Februari 04, 2023
Wananchi wa Peru washinikiza kufanyika uchaguzi, waandamana
-
Februari 04, 2023
Mkazi wa Haiti anayejulikana kimataifa, akanusha kujihusisha na uhalifu
-
Februari 04, 2023
VOA Mitaani: Uamuzi wa Mahakama Kuu Kenya waibua hisia mseto
-
Februari 03, 2023
Seneta Michael Bennette ataka programu ya TikTok kuondolewa
-
Februari 03, 2023
Nairobi: Mkazi wa Dandora aeleza uchafuzi wa mazingira ulivyauathiri mto