Kiongozi wa muungano wa upinzani wa kisiasa nchini Kenya, Raila Odinga, siku ya Jumanne alimwandikia barua rais Uhuru Kenyatta, na kumtaka aanzishe mazungumzo ya kitaifa yatayowahusisha wadau wote, yenye lengo la kuikarabati tume ya uchaguzi na mipaka. BMJ Muriithi ana taarifa kamili...