Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 19:12

Upinzani Kenya wamwandikia barua rais Uhuru Kenyatta


CORD Kenya
CORD Kenya

Kiongozi wa muungano wa upinzani wa kisiasa nchini Kenya, Raila Odinga, siku ya Jumanne alimwandikia barua rais Uhuru Kenyatta, na kumtaka aanzishe mazungumzo ya kitaifa yatayowahusisha wadau wote, yenye lengo la kuikarabati tume ya uchaguzi na mipaka.

Kiongozi wa muungano wa upinzani wa kisiasa nchini Kenya, Raila Odinga, siku ya Jumanne alimwandikia barua rais Uhuru Kenyatta, na kumtaka aanzishe mazungumzo ya kitaifa yatayowahusisha wadau wote, yenye lengo la kuikarabati tume ya uchaguzi na mipaka. BMJ Muriithi ana taarifa kamili...

please wait

No media source currently available

0:00 0:11:08 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

XS
SM
MD
LG