Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 16:27

Raia wa Afghanistan wapewa hifadhi ya muda Uganda


Raia wa Afghanistan wapewa hifadhi ya muda Uganda
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:36 0:00

Ndege iliyokuwa imewabeba raia wa Afghanistan ambao wameondolewa nchini humo baada ya wapiganaji wa Taliban kudhibiti utawala wa nchi hiyo imewasili nchini Uganda ambapo watu hao watapewa hifadhi ya muda.

XS
SM
MD
LG