Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 13:06

Polisi wakamata waandamanaji Kenya


Polisi watawanya maandamano Kenya
Polisi watawanya maandamano Kenya
Wafuasi kadhaa wa muungano wa upinzani wakematwa na polisi katika miji tofauti nchini Kenya.

Wafuasi hao walijitokeza kushiriki maandamano yaliyopangwa kufanyika kila Jumatatu na muungano wa CORD, kushinikiza makamishna wa tume ya uchaguzi kujiuzulu kwa madai ya kutowajibika kwa Umma.

Katika mji wa Mombasa, Gavana Ali Hassan Joho, ambaye ni naibu kinara wa chama kikuu cha upinzani nchini Kenya (ODM).

Gavana Joho, aliongoza maandamano waliyoyataja kama ya amani, lakini yakasitishwa na polisi wa kutuliza ghasia.

Mwandishi wetu Josephat Kioko alishuhudia maandamano hayo, na alituma taarifa ambayo unaweza kuisikiliza hapo chini.

please wait

No media source currently available

0:00 0:04:26 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

XS
SM
MD
LG