Polisi waendesha operesheni maalum mjini Kinshasa
Wafanyakazi wa kikosi cha polisi cha usafi mjini Kinshasa wakisaidiwa na tingatinga walianza operesheni ya kubomoa vibanda mjini humo. Ungana na mwandishi wetu anayekuletea sababu zilizopelekea mamlaka husika kuendesha operesheni hiyo katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa.
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC