Polisi waendesha operesheni maalum mjini Kinshasa
Wafanyakazi wa kikosi cha polisi cha usafi mjini Kinshasa wakisaidiwa na tingatinga walianza operesheni ya kubomoa vibanda mjini humo. Ungana na mwandishi wetu anayekuletea sababu zilizopelekea mamlaka husika kuendesha operesheni hiyo katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa.
Matukio
-
Februari 04, 2023
Wananchi wa Peru washinikiza kufanyika uchaguzi, waandamana
-
Februari 04, 2023
Mkazi wa Haiti anayejulikana kimataifa, akanusha kujihusisha na uhalifu
-
Februari 04, 2023
VOA Mitaani: Uamuzi wa Mahakama Kuu Kenya waibua hisia mseto
-
Februari 03, 2023
Seneta Michael Bennette ataka programu ya TikTok kuondolewa
-
Februari 03, 2023
Nairobi: Mkazi wa Dandora aeleza uchafuzi wa mazingira ulivyauathiri mto