Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 12:46

Polisi waendesha operesheni maalum mjini Kinshasa


Polisi waendesha operesheni maalum mjini Kinshasa
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:53 0:00

Wafanyakazi wa kikosi cha polisi cha usafi mjini Kinshasa wakisaidiwa na tingatinga walianza operesheni ya kubomoa vibanda mjini humo. Ungana na mwandishi wetu anayekuletea sababu zilizopelekea mamlaka husika kuendesha operesheni hiyo katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa.

XS
SM
MD
LG